} });
 

TANGAZO


Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba gari ya Kampuni ya Another G inayofanya safari zake Njombe kwenda Iringa imegongana Lori Semi Trailler .

Taarifa zinasema kuwa ajali hiyo imetokea katika eneo la Kinyanambo,njia panda ya Madibila huko Mafinga.

Inaelezwa kuwa waliofariki dunia mpaka sasa ni 22 wanaume 15 na wanawake 7 na majeruhi ni 34.

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top