} });
 

TANGAZO


Msikiti uliolipuliwa na mtu wa kujitolea muhanga
Utawala wa Saudia umetoa tangazo kwamba utatoa dola milioni mbili za Marekani kama zawadi kwa yeyote atakayesaidia kukamatwa kwa wapiganaji wa kigaidi au kuzuia shambulio la kigaidi.
Ombi hilo limetolewa wakati utawala huo ulipokuwa ukiwataja washukiwa wa kisa cha milipuko ya waliojitolea mhanga iliofanyika katika misikiti miwili ya wa-Shia hapo mwezi jana.
zi jana.

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top