} });
 

TANGAZO
Garissa
Watu watano wameshtakiwa kwa tuhuma za kula njama za kufanya kitendo cha ugaidi kuhusiana na shambulio lililofanywa na Al Shabaab huko Garissa kaskazini mwa Kenya miezi miwili iliyopita.
Haijawekwa wazi watu hao walihusika vipi na shambulio hilo lililosababisha vifo vya Watu 148 .
Maafisa wa usalama wa kenya walisema shambulio hilo lilifanywa na watu wanne ambao wote walikabiliwa na kuuawa .

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top