} });
 

TANGAZO
Kwa mujibu wa taarifa  rasmi kutoka ndani ya kikao cha NEC mjini Dodoma zimedai kuwa tayari majina ya wagombea watatu yametajwa ambapo waliopita ni John Pombe Magufuli, Asha-Rose Migiro na Amina Salum Ali.Ambapo kikao hicho kilipata fursa yakuwasikiliza kila mmoja na baadae zoezi la kura lilifatia,,,KUR ZIMESHAPIGWA TUNASUBIRI MATOKEA,,,,ENDELEA KUFUATILIA HABARI ZETU MAANA MUDA SI MREFU TUTAKUJUZA.....

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top