TANGAZO
Vijana hao wakiwa katika Tawi la Chadema, Mwananyamala jijini Dar.
VIJANA takribani 30 wa vyuo vikuu ambao ni wanachama wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) wamerudisha kadi za CCM katika tawi la chama cha Chadema
zilizopo Mwananyamala kwa madai kuwa hawakuridhishwa na mchakato wa
kumpata mgombea wa urais wa CCM.
Vijana hao wa vyuo vikuu mbalimbali waliokuwa wakiimba wimbo wa
tunaimani na Lowassa wamekabidhi kadi zao za CCM kwa Kaimu Mwenyekiti wa
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni ya Chadema, Bi. Esther Semaja na kukabidhiwa
kadi za uanachama wa CHADEMA.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker
Post a Comment