} });
 

TANGAZO
 

Huyu ni yule aliyekuwa mbunge wa Kahama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kutangaza kukihama chama hicho,,akitaja kuwa moja yasababu ni RUSHWA,ambapo baadhi ya viongozi wanashiriki haswa waliopo wilaya humo.
Pamoja na hayo Lembeli amewashukuru wananchi wa wilaya ya Kahama pamoja na viongozi wa CDM,kwa kumpokea vizuri ,nakutaja hajawahi kupata mapokezi makubwa namna ile tangu awe mwanasiasa.   Na tayari amejaza fom ya watia nia  kwa ajili yakugombea ubunge kwa tiketi ya CDM mwaka huu.

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top