} });
 

TANGAZO

Tukio hili limekuwa gumzo ndani ya wilaya ya Kahama ambapo watu Takibani 60 wamepoteza ali zao na wengine kukosa hata chombo cha kuokota...Mtandao wa Kahamacity uliweza kufika eneo la tukio nakuwapa pole wahanga hao,ambapo moto umesababishwa na hitilafu ya mita
hii ndio mita

Hata hivyo mtandao huo ulifika mpaka katika uongozi wa soko ambapo ulikuta na meneja wa soko hilo ili kujua kuna utaratibu gani ambao unaendelea mpaka sasa,,,
Ambapo kiongozi huyo alisema anasubiri majibu kutoka uongozi wajuu,,,,,,
tutakujuza punde majibu yatakapokuwa kuwa tayari....Kahamacity inatoa pole kwa wahanga walitukio hilo.




soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top