} });
 

TANGAZO
Shirika la umeme nchini Tanesco limesema kutokea kwa hitilafu ya umeme katika msongo wa kilovoti 30 kumeharibu kifaa cha kukata umeme na kusababisha  mikoa ya Tanzania bara kukosa huduma ya umeme kwa muda.
Akizungumza na waandishi wa habari meneja mahusiano wa Tanesco Bwana Adriani Severini amesema mikoa yote nchini ilikosa huduma ya umeme isipokuwa mikoa ya Mtwara, Kigoma na Lindi ambapo amesema kwa upande wa jiji la Dar es Salaam kuna baadhi ya maeneo yamekosa huduma ya umeme hususani inayotumia umeme wa msongo wa kv 11.

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top