TANGAZO
Nchini Afrika Kusini lalama zimetolewa dhidi ya sheria mpya kuhusu kupata Visa ya watoto nchini Humo. Sheria mpya imeanza kutekelezwa hii leo ambapo yeyote anayenuia kusafiri na mtoto atahitaji kuambatanisha na cheti chake cha kuzaliwa.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker
Post a Comment