} });
 

TANGAZO
Nchini Afrika Kusini lalama zimetolewa dhidi ya sheria mpya kuhusu kupata Visa ya watoto nchini Humo. Sheria mpya imeanza kutekelezwa hii leo ambapo yeyote anayenuia kusafiri na mtoto atahitaji kuambatanisha na cheti chake cha kuzaliwa.
Kampuni za utalii zimelalamikia sheria hii na kusema itaathiri sekta hio inayoletea nchi kipato cha nje.Kutoka Johannesburg Omar Mutasa anaarifu.

soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top