TANGAZO
Baada
ya kuzomewa jana Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka
mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alifunguka haya
“Kama hamnitaki siyo lazima niwe mbunge wenu, mnaruhusiwa kubadili. Huyo aliyewapa viroba asubuhi hii ili mje mnitie aibu mbele ya katibu mkuu wa chama nawaambia hiyo dhambi itawatafuna,” alisema. “Mimi sitafuti kazi na wala sina njaa... na kama hela ya kula ninayo. Mimi sigangi njaa na kama mnataka kuwa na kiongozi mganga njaa muwekeni muone atawasaidia vipi,” Source: MCL
Unazungumziaje suala hili
Adelin Michael Kileo huhuhuhu
mm nasemaje peoples powerrrrrr! Ndo habari ya mujini! Yan tutawanyosha
tuu mwaka huu hawa kijani kibichi maana ctak hta kuwaita ccm maana amna
kitu apa yani mpka kielewekee! piga like kama upo chadema tuwapindue awa
wasiojielewa wanagombana wenyewe kwa wenyewe hawajitambui ??
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker






Post a Comment