TANGAZO
MAKONGOLO NYERERE
Mbunge wa Afrika Mashariki,Ambaye ni mtoto wa Hayati Baba wa Taifa
Mwl Julius Kambarage Nyerere ametangaza rasmi leo kuwania nafasi ya
Urais.Makongolo ametangaza nia hiyo kijijini kwao Mwitongo Butiama mkoani Mara.
HUU MWALIKO WAKE ULIIOKUWA UMESAMBAA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII SIKU CHACHE ZILIZOPITA.
TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker


Post a Comment