} });
 

TANGAZO



Mchungaji huyu alifanikiwa kuwashawishi waumini wa kike wa kanisa lake kuvua nguo mbele ya kanisa lote ili awafanyie maombezi kwa kuwakanyaga.
Mchungaji huyo anasema kwamba utapata uponyaji pale tu ambapo utafuata njia yake ya kuvua nguo na kubaki nusu uchi. Cha kushangaza waumini wake wengi (wanawake) hawakusita kumtii mchungaji huyo.
Miongoni mwa waumini hao ni wake za watu ambao nao wameshiriki katika uvuaji wa nguo . je ni wapi dunia inakwenda ?




soma habar kilasiku kazi ya mikono yangu ni kuhakikisha unapata unachotaka +255 769 859 030 #ZAMU YAKO 2016

TANGAZO
Facebook Blogger Plugin by TeachMaker

Post a Comment

 
Top